Photo of the Remarkables mountain range in Queenstown, New Zealand.
Photo of the Remarkables mountain range in Queenstown, New Zealand.

Thursday, June 22, 2017

PICHA: Jux amaliza utata alichokuwa anafanya China…katuonesha hizi picha

Mwimbaji staa wa Bongofleva JUX amehitimu Degree ya Computer Science katika Guangdong University kilichopo Guangzhou, China na leo ameonyesha picha mbalimbali kutoka kwenye graduation yake.

No comments:

Post a Comment

Photo of the Remarkables mountain range in Queenstown, New Zealand.